// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
CHELSEA YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA LEICESTER DARAJANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECHELSEA YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA LEICESTER DARAJANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
CHELSEA YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA LEICESTER DARAJANI
WENYEJI, Chelsea wamelazimishwa sare ya 1-1 na Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Leicester City ilitangulia na bao la James Maddison dakika ya sita, kabla ya Marcos Alonso kuisawazishia Chelsea dakika ya 34. Kwa sare hiyo, Chelsea inafikisha pointi 71, ingawa inabaki nafasi ya tatu ikiizidi pointi tatu Tottenham Hotspur baada ya wote kucheza mechi 37, wakati Leicester City inafikisha pointi 49 za mechi 37 pia nafasi ya tisa.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment