• HABARI MPYA

    Wednesday, May 11, 2022

    KIBWANA AONGEZA MKATABA YANGA HADI 2024


    BEKI chipukizi wa Yanga, Kibwana Ally Shomari amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea klabu ya Yanga.
    Kibwana ambaye mkataba wake wa awali aliosaini mwaka juzi akitokea Mtibwa Sugar ya Morogoro unamalizika mwezi ujao, sasa ataendelea kuwa mali ya Jangwani hadi Juni 2024.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIBWANA AONGEZA MKATABA YANGA HADI 2024 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top