• HABARI MPYA

    Tuesday, May 31, 2022

    NI WYDAD CASABLANCA MABINGWA AFRIKA 2022


    WENYEJI, Wydad Athletics wamefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya waliokuwa mabingwa watetezi, Al Ahly ya Misri usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Mfalme Mohamed V Jijini Casablanca nchini Morocco.
    Mabao yote ya Wydad yamefungwa na mshambuliaji wa kimataifa wa Morocco, Zouheir El-Moutaraji mwenye umri wa miaka 26, moja kila kipindi, la kwanza dakika ya 15 na la pili dakika ya 45.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NI WYDAD CASABLANCA MABINGWA AFRIKA 2022 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top