// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NI WYDAD CASABLANCA MABINGWA AFRIKA 2022 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NI WYDAD CASABLANCA MABINGWA AFRIKA 2022 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, May 31, 2022

    NI WYDAD CASABLANCA MABINGWA AFRIKA 2022


    WENYEJI, Wydad Athletics wamefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya waliokuwa mabingwa watetezi, Al Ahly ya Misri usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Mfalme Mohamed V Jijini Casablanca nchini Morocco.
    Mabao yote ya Wydad yamefungwa na mshambuliaji wa kimataifa wa Morocco, Zouheir El-Moutaraji mwenye umri wa miaka 26, moja kila kipindi, la kwanza dakika ya 15 na la pili dakika ya 45.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NI WYDAD CASABLANCA MABINGWA AFRIKA 2022 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top