WENYEJI, Coastal Union wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Mabao ya Coastal yamefungwa na Abdul Suleiman ‘Sopu’ yote mawili dakika ya saba na 15, wakati la Dodoma Jiji limefungwa na Anuary Jabir dakika ya 23. Coastal Union wanafikisha pointi 31 na kusogea nafasi ya tisa, huku Dodoma Jiji ikibaki na pointi zake 28 nafasi ya 11 baada ya wote kucheza mechi 25.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment