• HABARI MPYA

    Friday, September 10, 2021

    SIMBA NA YANGA DESEMBA 11 LIGI KUU


    WATANI wa jadi, Simba na Yanga watakutana Desemba 11 katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
    Kwa mujibu wa ratiba ya h Kuu msimu wa 2021-2022 iliyotolewa leo, mechi ya kwanza kabisa ya msimu itachezwa Septemba 27 baina ya Mtibwa Sugar na Mbeya City Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.







    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA NA YANGA DESEMBA 11 LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top