• HABARI MPYA

    Friday, September 10, 2021

    CAF YAMZUIA KOCHA GOMES WA SIMBA

    MFARANSA Didier Gomes Da Rosa ni miongoni mwa makocha waliozuiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kufanya kazi katika mashindano yote yanayoandaliwa na bodi hiyo ya kandanda barani.
    Hiyo ni kutokana na kuwa miongoni mwa limetoa makocha wa klabu ambao hawana leseni za CAF A au UEFA Pro.


    ORODHA KAMILI YA MAKOCHA WALIOPIGWA STOP CAF
    Didier Gomes (UEFA A Diploma) 🇹🇿 Simba SC 
    Erradi Mohamed Adil (UEFA Advanced Diploma) 🇷🇼 APR 
    Bosa Wasswa (CAF B) 🇺🇬 Express FC (To be replaced) 
    Diego Garzitto (UEFA A) 🇸🇩 El Merreich SC
    Comlan Mathias (German License) 🇧🇯 ESAE FC 
    Pascal Lafleurial (UEFA Elite Youth A) 🇨🇫 DFCB 
    Roque Sapir (CAF C Diploma) 🇦🇴 GD Sagrada Esperança
    Ame Khamis (CAF B) (🇹🇿) KMKM 
    Abalo Jean-Paul (UEFA A) 🇹🇬 ASKO
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CAF YAMZUIA KOCHA GOMES WA SIMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top