BONDIA Hassan Mwakinyo amefanikiwa kutetea mkanda wake wa Chama cha Ngumi Afrika (ABU) baada ya ushindi wa Technical Knockout (TKO) raundi ya nne dhidi ya Mnamibia, Julius Indongo usiku wa Ijumaa ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam. Lakini mambo hayakuwa mazuri kwa Mtanzania mwingine, Tony Rashid kupigwa na Bongani Mahlangu wa Afrika Kusini kwa TKO raundi ya pili katika pambano la ABU pia uzito wa Super Bantam.
Police arrest 2 over N400m fraud
-
By John Ogunsemore The Nigeria Police Force has arrested two male suspects,
Saidu Adam Usman and Yusuf Umar, in connection with the creation and
distribu...
Referees undergo refresher course in Njeru
-
Uganda referees set to officiate in the second round of FUFA Competitions
this season have reported at the FUFA Technical Centre, Njeru for sessions
invo...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment