• HABARI MPYA

    Sunday, September 24, 2017

    YANGA NA NDANDA FC KATIKA PICHA JANA UHURU

    Mshambuliaji wa Yanga, Mzimbabwe Donald Ngoma akipiga shuti mbele ya beki wa Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0
    Mfungaji wa bao pekee la Yanga jana, Ibrahim Hajib akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Ndanda
    Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akimpita mchezaji wa Ndanda jana 
    Beki wa Yanga, Gardiel Michael (katikati) akimdhibiti mshambuliaji wa Ndanda
    Kikosi chaYanga katika mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
    Kikosi cha Ndanda kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA NDANDA FC KATIKA PICHA JANA UHURU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top