Mshambuliaji wa Yanga, Mzimbabwe Donald Ngoma akipiga shuti mbele ya beki wa Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0
Mfungaji wa bao pekee la Yanga jana, Ibrahim Hajib akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Ndanda
Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akimpita mchezaji wa Ndanda jana
Beki wa Yanga, Gardiel Michael (katikati) akimdhibiti mshambuliaji wa Ndanda
Kikosi chaYanga katika mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
Kikosi cha Ndanda kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
East end of Vancouver's False Creek cleared of boats ahead of World Cup
-
False Creek, east of the Cambie Bridge, has been cleared of virtually all
pleasure craft and passenger vessels under an interim order from Transport
Canada...
2 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment