• HABARI MPYA

    Thursday, September 21, 2017

    THEO WALCOTT AIPA USHINDI ARSENAL KOMBE LA LIGI ENGLAND

    Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akikimbia kushangilia baada ya kumchambua kipa wa Doncaster, Ian Lawlor kuifungia Gunners bao pekee la ushindi dakika ya 25 Uwanja wa Emirates katika mchezo wa Kombe la Ligi England, au Carabao Cup PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: THEO WALCOTT AIPA USHINDI ARSENAL KOMBE LA LIGI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top