• HABARI MPYA

    Sunday, September 24, 2017

    PARKER AMSHINDA KWA POINTI FURY NA KUTETEA TAJI LA WBO

    Bondia Joseph Parker akifurahia na mkanda wake wa WBO uzito wa juu baada ya kuutetea kufuatia kumshinda Hughie Fury kwa pointi usiku wa jana ukumbi wa Manchester Arena katika pambano la raundi 12. Fury ni mpwa wa bingwa wa zamani wa dunia uzito wa juu kabisa, Tyson Fury ambaye alikuwepo Manchester Arena jana na akaleta fujo akidai kijana wake amedhulumiwa ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PARKER AMSHINDA KWA POINTI FURY NA KUTETEA TAJI LA WBO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top