Bondia Joseph Parker akifurahia na mkanda wake wa WBO uzito wa juu baada ya kuutetea kufuatia kumshinda Hughie Fury kwa pointi usiku wa jana ukumbi wa Manchester Arena katika pambano la raundi 12. Fury ni mpwa wa bingwa wa zamani wa dunia uzito wa juu kabisa, Tyson Fury ambaye alikuwepo Manchester Arena jana na akaleta fujo akidai kijana wake amedhulumiwa ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Maguire's last-minute offside winner leaves Ruud van Nistelrooy
RAGING - with no VAR in FA Cup fourth round
-
NATHAN SALT: Replays clearly showed that Maguire scored from an offside
position. There was also plenty of grievance on the Leicester City bench
for the aw...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment