Bondia Joseph Parker akifurahia na mkanda wake wa WBO uzito wa juu baada ya kuutetea kufuatia kumshinda Hughie Fury kwa pointi usiku wa jana ukumbi wa Manchester Arena katika pambano la raundi 12. Fury ni mpwa wa bingwa wa zamani wa dunia uzito wa juu kabisa, Tyson Fury ambaye alikuwepo Manchester Arena jana na akaleta fujo akidai kijana wake amedhulumiwa ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans rage as Nicolas Jackson 'gets away' with 'deliberately stomping' on
Takehiro Tomiyasu during Arsenal's clash with Chelsea
-
Fans are furious over the fact Nicolas Jackson 'got away' with
'deliberately stomping' on Takehiro Tomiyasu.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment