Winga Mtanzania, Simon Msuva, wa Difaa Hassan El-Jadida (kulia) akimtoka mchezaji wa Ittihad Tanger usiku wa jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger katika Kombe la FA Morocco uliomalizika kwa sare ya 1-1. Difaa imesonga mbele kwa faida ya bao la ugenini baada ya kutoa sare ya 0-0 nyumbani wiki iliyopita
Simon Msuva (kulia) akitoka uwanjani wakati wa mapumziko
Simon Msuva akiwa kazini jana nchini Morocco
Simon Msuva (kushoto) akifurahia na wachezaji wenzake baada ya mechi jana
Wachezaji wa Difaa Hassan El Jadida wakimpongeza mfungaji wa bao lao jana
Kikosi cha kwanza cha Difaa Hassan El Jadida jana
Stephanie Sparks dead at 50: Former Golf Channel host, USA Curtis Cup and
LPGA player passes away
-
Stephanie Sparks, the host of Golf Channel's 'Big Break', passed away last
week at age 50. Sparks was an All-American college golfer at Duke and
hosted sev...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment