• HABARI MPYA

    Thursday, September 21, 2017

    MSUVA ALIVYOIPIGANIA DIFAA HASSAN EL- JADIDA JANA MOROCCO

    Winga Mtanzania, Simon Msuva, wa Difaa Hassan El-Jadida (kulia) akimtoka mchezaji wa Ittihad Tanger usiku wa jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger katika Kombe la FA Morocco uliomalizika kwa sare ya 1-1. Difaa imesonga mbele kwa faida ya bao la ugenini baada ya kutoa sare ya 0-0 nyumbani wiki iliyopita 
    Simon Msuva (kulia) akitoka uwanjani wakati wa mapumziko
    Simon Msuva akiwa kazini jana nchini Morocco
    Simon Msuva (kushoto) akifurahia na wachezaji wenzake baada ya mechi jana
    Wachezaji wa Difaa Hassan El Jadida wakimpongeza mfungaji wa bao lao jana
    Kikosi cha kwanza cha Difaa Hassan El Jadida jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSUVA ALIVYOIPIGANIA DIFAA HASSAN EL- JADIDA JANA MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top