Winga Mtanzania, Simon Msuva, wa Difaa Hassan El-Jadida (kulia) akimtoka mchezaji wa Ittihad Tanger usiku wa jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger katika Kombe la FA Morocco uliomalizika kwa sare ya 1-1. Difaa imesonga mbele kwa faida ya bao la ugenini baada ya kutoa sare ya 0-0 nyumbani wiki iliyopita
Simon Msuva (kulia) akitoka uwanjani wakati wa mapumziko
Simon Msuva akiwa kazini jana nchini Morocco
Simon Msuva (kushoto) akifurahia na wachezaji wenzake baada ya mechi jana
Wachezaji wa Difaa Hassan El Jadida wakimpongeza mfungaji wa bao lao jana
Kikosi cha kwanza cha Difaa Hassan El Jadida jana
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment