Winga Mtanzania, Simon Msuva, wa Difaa Hassan El-Jadida (kulia) akimtoka mchezaji wa Ittihad Tanger usiku wa jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger katika Kombe la FA Morocco uliomalizika kwa sare ya 1-1. Difaa imesonga mbele kwa faida ya bao la ugenini baada ya kutoa sare ya 0-0 nyumbani wiki iliyopita
Simon Msuva (kulia) akitoka uwanjani wakati wa mapumziko
Simon Msuva akiwa kazini jana nchini Morocco
Simon Msuva (kushoto) akifurahia na wachezaji wenzake baada ya mechi jana
Wachezaji wa Difaa Hassan El Jadida wakimpongeza mfungaji wa bao lao jana
Kikosi cha kwanza cha Difaa Hassan El Jadida jana
Tennessee Titans drop major hint on they will choose with the first pick of
the 2025 NFL Draft
-
Tennessee Titans President of Football Operations Chad Brinker has dropped
a major hint on Wednesday as to who the team will be selecting first
overall at ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment