Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za tisa na 22 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, BATE Borisov kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku huu Uwanja wa Borisov Arena. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Rob Holding dakika ya 25 na Olivier Giroud dakika ya 49 kwa penalti wakati mabao ya BATE yamefungwa na Mirko Ivanic dakika ya 28 na Mikhail Gordelchuk dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Park footballer kicks 22 GOALS in record 340 point Aussie Rules hammering -
and he was only filling in at forward to make up the numbers
-
An Adelaide Footy League club has put on a record flogging to kick off its
2024 season, with a midfielder turned forward blasting an incredible 22
goals in...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment