Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za tisa na 22 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, BATE Borisov kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku huu Uwanja wa Borisov Arena. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Rob Holding dakika ya 25 na Olivier Giroud dakika ya 49 kwa penalti wakati mabao ya BATE yamefungwa na Mirko Ivanic dakika ya 28 na Mikhail Gordelchuk dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Housing: Ogun set to inaugurate Gateway Aviation Village
-
…plans 200 housing units in Phase 2 Laide Raheem, Abeokuta The Ogun State
government says it has completed the construction of the first phase of
the Ga...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment