Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za tisa na 22 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, BATE Borisov kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku huu Uwanja wa Borisov Arena. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Rob Holding dakika ya 25 na Olivier Giroud dakika ya 49 kwa penalti wakati mabao ya BATE yamefungwa na Mirko Ivanic dakika ya 28 na Mikhail Gordelchuk dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xabi Alonso reveals he has held private talks with Estevao over lack of
game time - and amid reports in Brazil the forward is concerned about his
Blues future
-
KIERAN GILL: Alonso has held private talks with Estevao Willian amid
speculation that Chelsea's Brazilian boy wonder is concerned with his lack
of opportun...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment