Dani Ceballos akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao yote mawili dakika za 10 na 43 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Alaves leo Uwanja wa Mendizorroza mjini Vitoria-Gasteiz kwenye mchezo wa La Liga. Bao la wenyeji limefungwa na Manu Garcia dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pascal Siakam Wows NBA Fans as Haliburton, Pacers Beat Lillard, Bucks
Without Giannis
-
Damian Lillard helped the Milwuakee Bucks steal Game 1 of their Eastern
Conference first-round playoff series against the Indiana Pacers on Sunday
without…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment