Dani Ceballos akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao yote mawili dakika za 10 na 43 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Alaves leo Uwanja wa Mendizorroza mjini Vitoria-Gasteiz kwenye mchezo wa La Liga. Bao la wenyeji limefungwa na Manu Garcia dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton attacker Simon Adingra urged to 'work hard' to emulate Didier
Drogba
-
Ivory Coast head coach, Emerse Fae, has urged Simon Adingra to build a
career that mirrors the legendary Didier Drogba’s journey.Adingra gained
widesprea...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment