Dani Ceballos akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao yote mawili dakika za 10 na 43 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Alaves leo Uwanja wa Mendizorroza mjini Vitoria-Gasteiz kwenye mchezo wa La Liga. Bao la wenyeji limefungwa na Manu Garcia dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea's Ziyech in talks with AC Milan
-
Italian side AC Milan is in talks to sign Hakim Ziyech from Chelsea.
Ziyech joined Chelsea two years ago from Ajax for a reported fee of £33m.
As reported...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni