• HABARI MPYA

    Thursday, September 28, 2017

    BARCELONA YAPATA USHINDI MWEMBAMBA URENO, YAILAZA 1-0 SPORTING

    Fabio Coentrao wa Sporting CP (chini kulia) akiteleza kuondosha mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kumzuia kufunga katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno. Hata hivyo, Barcelona ilishinda 1-0, bao pekee la Sebastian Coates aliyejifunga dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA YAPATA USHINDI MWEMBAMBA URENO, YAILAZA 1-0 SPORTING Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top