Fabio Coentrao wa Sporting CP (chini kulia) akiteleza kuondosha mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kumzuia kufunga katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno. Hata hivyo, Barcelona ilishinda 1-0, bao pekee la Sebastian Coates aliyejifunga dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Insecurity: OPC leader, Adams, backs Mattawalle’s directive on self-defence
-
From Oluseye Ojo, Ibadan, Bamigbola Gbolagunte, Akure The highest
decision-making organ of the Aare Ona Kakanfo of Yorubaland, known as Aare
Ona Kakanfo-...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni