Fabio Coentrao wa Sporting CP (chini kulia) akiteleza kuondosha mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kumzuia kufunga katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno. Hata hivyo, Barcelona ilishinda 1-0, bao pekee la Sebastian Coates aliyejifunga dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Formula One team announce star will leave at the end of the season... with
18-year-old British sensation Oliver Bearman in pole position to replace him
-
A door opened and a seat became available on Friday for British teenager
Ollie Bearman to secure a place on the Formula One grid next season.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment