Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur katika ushindi wa 4-0 leo dhidi ya Huddersfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The John Smith, Huddersfield, West Yorkshire. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Ben Davies na Moussa Sissoko PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United close to agreeing terms with Barcelona over midfielder Frenkie de Jong
-
Manchester United are inching towards a conclusion in their protracted
pursuit of Frenkie de Jong from Barcelona and hope to have the transfer
completed th...
Dakika 16 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni