Winga wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 90 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Shakhtar Donetsk usiku wa jana Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la City lilifungwa na Kevin de Bruyne dakika ya 48, wakati Sergio Aguero alikosa penalti iliyookolewa na kipa Andriy Pyatov dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fund football yourself if you don’t want gov’t to interfere – Otumfuo
to GFA
-
The Asantehene, Otumfuo Osei Tutu II, has urged the Ghana Football
Association (GFA) to seek independent funding if it wishes to avoid
government interfere...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment