Dimitri Oberlin (kulia) akiifungia Benfica moja ya mabao yake mawili jana katika ushindi wa 5-0 dhidi ya FC Basle kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa eSt. Jakob-Park mjini Basel. Oberlin alifunga dakika za 20 na 69, wakati mabao mengine yalifungwa na Michael Lang dakika ya pili, Ricky van Wolfswinkel kwa penalti dakika ya 59 na Blas Riveros dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Quick impact projects: Army constructs, presents health centre to Edo community
-
The Nigerian Army on Friday in Unogbo community, Esan Central Local
Government Area of Edo, inaugurated and handed over the remodeled Unogbo
Primary Heal...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni