Dimitri Oberlin (kulia) akiifungia Benfica moja ya mabao yake mawili jana katika ushindi wa 5-0 dhidi ya FC Basle kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa eSt. Jakob-Park mjini Basel. Oberlin alifunga dakika za 20 na 69, wakati mabao mengine yalifungwa na Michael Lang dakika ya pili, Ricky van Wolfswinkel kwa penalti dakika ya 59 na Blas Riveros dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
East end of Vancouver's False Creek cleared of boats ahead of World Cup
-
False Creek, east of the Cambie Bridge, has been cleared of virtually all
pleasure craft and passenger vessels under an interim order from Transport
Canada...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment