Dimitri Oberlin (kulia) akiifungia Benfica moja ya mabao yake mawili jana katika ushindi wa 5-0 dhidi ya FC Basle kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa eSt. Jakob-Park mjini Basel. Oberlin alifunga dakika za 20 na 69, wakati mabao mengine yalifungwa na Michael Lang dakika ya pili, Ricky van Wolfswinkel kwa penalti dakika ya 59 na Blas Riveros dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment