• HABARI MPYA

    Thursday, September 28, 2017

    BATSHUAYI AWAPA 'HESHIMA YAO' TORRES NA DIEGO COSTA

    Michy Batshuayi akitabasamu baada ya kukutana na wachezaji wa zamani wa Chelsea, Fernando Torres (kushoto) na Diego Costa (kulia) jana mjini Madrid baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana. Torres anachezea Atletico kwa sasa, wakati Costa anakamilisha utaratibu wa kurejea timu yake hiyo zamani kufuatia kutofautiana na kocha wa Chelsea, Antonio Conte PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BATSHUAYI AWAPA 'HESHIMA YAO' TORRES NA DIEGO COSTA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top