Michy Batshuayi akitabasamu baada ya kukutana na wachezaji wa zamani wa Chelsea, Fernando Torres (kushoto) na Diego Costa (kulia) jana mjini Madrid baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana. Torres anachezea Atletico kwa sasa, wakati Costa anakamilisha utaratibu wa kurejea timu yake hiyo zamani kufuatia kutofautiana na kocha wa Chelsea, Antonio Conte PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Felt like humiliation' - Egypt reacts to Salah's Liverpool row
-
Mohamed Salah's Liverpool row felt like "humiliation" for Egyptian fans,
who are rallying behind their star man before the Africa Cup of Nations
begins.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment