Michy Batshuayi akitabasamu baada ya kukutana na wachezaji wa zamani wa Chelsea, Fernando Torres (kushoto) na Diego Costa (kulia) jana mjini Madrid baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana. Torres anachezea Atletico kwa sasa, wakati Costa anakamilisha utaratibu wa kurejea timu yake hiyo zamani kufuatia kutofautiana na kocha wa Chelsea, Antonio Conte PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian McCaffrey's fiancee Olivia Culpo teases wedding 'countdown' as
model prepares to marry 49ers star
-
San Francisco 49ers star Christian McCaffrey could soon be tying the knot
after his fiancee Olivia Culpo revealed that the 'countdown' to their
wedding is on.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment