Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza mwenzao, Philippe Coutinho baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya 32 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Spartak Moscow kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moskva. Spartak Moscow walitangulia kwa bao la Fernando dakika ya 23, kabla ya refa kukataa bao la Sadio Mane dakika mbili baadaye akidai alikuwa amezidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment