Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza mwenzao, Philippe Coutinho baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya 32 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Spartak Moscow kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moskva. Spartak Moscow walitangulia kwa bao la Fernando dakika ya 23, kabla ya refa kukataa bao la Sadio Mane dakika mbili baadaye akidai alikuwa amezidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
VIDEO: Watch highlights of Hearts of Oak’s 2-1 win over Bechem United to win the MTN FA Cup
-
Hearts of Oak defeated Bechem United 2-1 to defend their MTN FA Cup trophy
at the Baba Yara Sports Stadium.Emmanuel Avornyo struck the first goal for
Beche...
Dakika 13 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni