Mshambuliaji chipukizi wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tano kabla ya kufunga na la pili dakika ya 17 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Burton Albion kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yalifungwa na Jesse Lingard dakika ya 36 na Anthony Martial dakika ya 60, wakati la Burton Albion limefungwa na Lloyd Dyer dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Golfer throws tantrum for the ages - as rumours swirl he will join Greg Norman's rebel LIV tour
-
US golfer Jason Kokrak has gone viral online following a meltdown for the
ages, sparking rumours he is about to be the latest PGA player to defect to
Greg ...
Dakika 39 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni