Mshambuliaji chipukizi wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tano kabla ya kufunga na la pili dakika ya 17 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Burton Albion kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yalifungwa na Jesse Lingard dakika ya 36 na Anthony Martial dakika ya 60, wakati la Burton Albion limefungwa na Lloyd Dyer dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
JC Latham NFL Draft 2024: Scouting Report for Tennessee Titans OT
-
HEIGHT: 6'6" WEIGHT: 342 HAND: 11" ARM: 35⅛" WINGSPAN: 84⅜" 40-YARD DASH:
N/A 3-CONE: N/A SHUTTLE: N/A VERTICAL: N/A BROAD: N/A POSITIVES — Broad
frame wit...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment