Mshambuliaji chipukizi wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tano kabla ya kufunga na la pili dakika ya 17 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Burton Albion kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yalifungwa na Jesse Lingard dakika ya 36 na Anthony Martial dakika ya 60, wakati la Burton Albion limefungwa na Lloyd Dyer dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England and France players involved in prayer huddle just moments after
their epic World Cup third-place play-off in Miami
-
England and France's footballers put rivalry aside after their 10-goal
thriller in Miami on Saturday night to share a poignant moment of unity on
the pitch.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment