// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BATSHUAYI AIFUNGIA LA USHINDI CHELSEA DAKIKA YA MWISHO YAILAZA 2-1 ATLETICO MADRID - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BATSHUAYI AIFUNGIA LA USHINDI CHELSEA DAKIKA YA MWISHO YAILAZA 2-1 ATLETICO MADRID - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, September 28, 2017

    BATSHUAYI AIFUNGIA LA USHINDI CHELSEA DAKIKA YA MWISHO YAILAZA 2-1 ATLETICO MADRID

    Michy Batshuayi (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea dakika ya 90 na ushei wakiwalaza 2-1 wenyeji, Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania. Antoine Griezmann alianza kuwafungia wenyeji kwa penalti dakika ya 4-, baada ya beki David Luiz kumvuta jezi Lucas kwenye boksi, kabla ya Alvaro Morata kuisawazishia The Blues dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BATSHUAYI AIFUNGIA LA USHINDI CHELSEA DAKIKA YA MWISHO YAILAZA 2-1 ATLETICO MADRID Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top