Michy Batshuayi (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea dakika ya 90 na ushei wakiwalaza 2-1 wenyeji, Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania. Antoine Griezmann alianza kuwafungia wenyeji kwa penalti dakika ya 4-, baada ya beki David Luiz kumvuta jezi Lucas kwenye boksi, kabla ya Alvaro Morata kuisawazishia The Blues dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Photos which led Italian football club to sack stadium falcon
handler for boasting about his penis implant online
-
WARNING: SEXUAL CONTENT: Juan Bernabe was sacked by the Italian top flight
club earlier this week after he underwent prosthetic penis surgery and
shared pi...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment