Michy Batshuayi (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea dakika ya 90 na ushei wakiwalaza 2-1 wenyeji, Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania. Antoine Griezmann alianza kuwafungia wenyeji kwa penalti dakika ya 4-, baada ya beki David Luiz kumvuta jezi Lucas kwenye boksi, kabla ya Alvaro Morata kuisawazishia The Blues dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment