Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na Gareth Bale baada ya kufunga bao la pili la Real Madrid dakika ya 49 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal Iduna Park mjini Dortmund. Bale aliyetoa pasi la bao la pili, ndiye aliyefunga bao la kwanza dakika ya 18, wakati Ronaldo alifunga na la tatu pia dakika ya 79 na Pierre-Emerick Aubameyang akawafungia wenyeji la kufutia machozi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emma Raducanu insists she 'can compete with anyone' after victory in her Centre Court debut
-
The 10th seed's participation in the tournament was in doubt until the
weekend because of a side strain suffered at the WTA Tour event in
Nottingham three ...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni