Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na Gareth Bale baada ya kufunga bao la pili la Real Madrid dakika ya 49 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal Iduna Park mjini Dortmund. Bale aliyetoa pasi la bao la pili, ndiye aliyefunga bao la kwanza dakika ya 18, wakati Ronaldo alifunga na la tatu pia dakika ya 79 na Pierre-Emerick Aubameyang akawafungia wenyeji la kufutia machozi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England and France players involved in prayer huddle just moments after
their epic World Cup third-place play-off in Miami
-
England and France's footballers put rivalry aside after their 10-goal
thriller in Miami on Saturday night to share a poignant moment of unity on
the pitch.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment