Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na Gareth Bale baada ya kufunga bao la pili la Real Madrid dakika ya 49 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal Iduna Park mjini Dortmund. Bale aliyetoa pasi la bao la pili, ndiye aliyefunga bao la kwanza dakika ya 18, wakati Ronaldo alifunga na la tatu pia dakika ya 79 na Pierre-Emerick Aubameyang akawafungia wenyeji la kufutia machozi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Scholes names the EIGHT players Manchester United should sell this
summer - including England international he calls a 'great footballer'
-
Paul Scholes has delivered a ruthless verdict on the Manchester United
squad, naming eight players he would elect to sell in the upcoming summer
transfer w...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment