Marouane Fellaini akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 35 na 49 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Juan Mata dakika ya tatu na Romelu Lukaku dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russell takes Melbourne pole after Verstappen crash
-
George Russell takes pole position as Mercedes dominate a qualifying
session for the Australian Grand Prix in which Max Verstappen crashed.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment