Marouane Fellaini akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 35 na 49 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Juan Mata dakika ya tatu na Romelu Lukaku dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment