• HABARI MPYA

    Saturday, September 30, 2017

    FELLAINI APIGA MBILI MAN UNITED YASHINDA 4-0 ENGLAND

    Marouane Fellaini akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 35 na 49 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Juan Mata dakika ya tatu na Romelu Lukaku dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FELLAINI APIGA MBILI MAN UNITED YASHINDA 4-0 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top