Marouane Fellaini akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 35 na 49 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Juan Mata dakika ya tatu na Romelu Lukaku dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BVB-Handballerinnen reisen zum Topspiel nach Thüringen
-
Am Ostersonntag absolvieren Borussia Dortmunds Handballerinnen ihr letztes
Bundesliga-Spiel vor der nächsten Länderspielpause. Beim Thüringer HC kommt
es z...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment