Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia Everton bao la kusawazisha dakika ya 21 kufuatia Adrian Sardinero kuwafungia Apollon Limassol bao la kuongoza dakika ya 12 katika sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Goodison Park. Nikola Vlasic aliifungia bao la pili Everton dakika ya 66, kabla ya Hector Yuste kuwasawazishia Apollon Limassol dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Buccaneers offensive consultant Tom Moore agrees to return for his 49th
season in the league at the age of 86
-
Tom Moore won a national championship as a backup quarterback at Iowa way
back in 1958. Since then he's coached everyone from Terry Bradshaw and Lynn
Swann...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment