Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia Everton bao la kusawazisha dakika ya 21 kufuatia Adrian Sardinero kuwafungia Apollon Limassol bao la kuongoza dakika ya 12 katika sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Goodison Park. Nikola Vlasic aliifungia bao la pili Everton dakika ya 66, kabla ya Hector Yuste kuwasawazishia Apollon Limassol dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
East end of Vancouver's False Creek cleared of boats ahead of World Cup
-
False Creek, east of the Cambie Bridge, has been cleared of virtually all
pleasure craft and passenger vessels under an interim order from Transport
Canada...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment