Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia Everton bao la kusawazisha dakika ya 21 kufuatia Adrian Sardinero kuwafungia Apollon Limassol bao la kuongoza dakika ya 12 katika sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Goodison Park. Nikola Vlasic aliifungia bao la pili Everton dakika ya 66, kabla ya Hector Yuste kuwasawazishia Apollon Limassol dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Rumors: Broncos 'Quietly Did A Lot of Work' on Bo Nix Amid
QB Buzz
-
The Denver Broncos traded for Zach Wilson, but that might not take them out
of the quarterback game during Thursday's NFL draft. Albert Breer of The
MMQB…
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment