• HABARI MPYA

    Friday, September 29, 2017

    ROONEY AFUNGA LAKINI EVERTON 'YAKABWA KOO' NYUMBANI ULAYA

    Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia Everton bao la kusawazisha dakika ya 21 kufuatia Adrian Sardinero kuwafungia Apollon Limassol bao la kuongoza dakika ya 12 katika sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Goodison Park. Nikola Vlasic aliifungia bao la pili Everton dakika ya 66, kabla ya Hector Yuste kuwasawazishia Apollon Limassol dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ROONEY AFUNGA LAKINI EVERTON 'YAKABWA KOO' NYUMBANI ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top