Leroy Sane akishangili baada ya kuifungia mabao yote mawili Manchester City dakika za tatu na 77 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion kwenye wa Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa The Hawthorns. Bao la West Bromwich lilifungwa na Claudio Yacob dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xabi Alonso reveals he has held private talks with Estevao over lack of
game time - and amid reports in Brazil the forward is concerned about his
Blues future
-
KIERAN GILL: Alonso has held private talks with Estevao Willian amid
speculation that Chelsea's Brazilian boy wonder is concerned with his lack
of opportun...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment