Mshambuliaji wa Everton, Wayne Rooney akivuja damu baada ya kuumia kufuatia kugongana na Simon Francis wa Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park, lakini ajabu refa hakutoa adhabu yoyote kiasi cha kuzomewa na mashabiki. Rooney alibadilishiwa jezi baada ya kutibiwa na kuendelea na mchezo, Everton ikishinda 2-1 mabao yote yakifungwa na mshambuliaji Msenegali, El-Hadji Baye Oumar Niasse dakika za 77 na 82 baada ya Joshua King kuanza kuwafungia wageni dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea's Ziyech in talks with AC Milan
-
Italian side AC Milan is in talks to sign Hakim Ziyech from Chelsea.
Ziyech joined Chelsea two years ago from Ajax for a reported fee of £33m.
As reported...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni