Mshambuliaji wa Everton, Wayne Rooney akivuja damu baada ya kuumia kufuatia kugongana na Simon Francis wa Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park, lakini ajabu refa hakutoa adhabu yoyote kiasi cha kuzomewa na mashabiki. Rooney alibadilishiwa jezi baada ya kutibiwa na kuendelea na mchezo, Everton ikishinda 2-1 mabao yote yakifungwa na mshambuliaji Msenegali, El-Hadji Baye Oumar Niasse dakika za 77 na 82 baada ya Joshua King kuanza kuwafungia wageni dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mercedes’ George Russell takes pole for F1 sprint race at Canadian Grand
Prix
-
MONTREAL (AP) — George Russell took the pole Friday for the sprint race
Saturday at the Canadian Grand Prix, with Mercedes teammate and Formula 1
points le...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment