Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akiondoka na mpira dhidi ya beki wa Mbao FC, Boniphace Maganga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2
Kiungo wa Mbao FC, Ibrahim Njohole akimtoka kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kushoto) akimiliki mpira pembeni ya mshambuliaji wa Mbao, Habib Kiyombo
Matabibu wa Simba wakimpatia huduma ya awali, kiungo Shiza Kichuya baada ya kuumia kifundo cha mguu kipindi cha kwanza jana na kushindwa kuendelea na mchezo
Kikosi cha Mbao FC katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza
Sue Bird joins Seattle Storm ownership group after starring for WNBA team
for 21 years
-
Storm owners, Force 10 Hoops, said that the 43-year-old, 13-time All-Star
joined the ownership group despite no financial details about the
transaction bei...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment