Islam Slimani (kushoto) akifumua shuti kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup jana Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 65 na Liverpool inatolewa mapema tu katika mashindano hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ebola spreads panic in Nigeria
-
The worsening outbreak of Ebola Virus Disease (EVD) in some African
countries, particularly the Democratic Republic of Congo (DRC), Uganda, and
now exten...
7 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment