Islam Slimani (kushoto) akifumua shuti kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup jana Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 65 na Liverpool inatolewa mapema tu katika mashindano hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment