Islam Slimani (kushoto) akifumua shuti kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 78 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup jana Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 65 na Liverpool inatolewa mapema tu katika mashindano hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester Jewish group tell Pep Guardiola 'focus on football' in a
scathing statement after Man City manager's passionate outbursts on
Palestine 'genocide'
-
Manchester City boss Pep Guardiola has come under fire from representatives
of the city's Jewish community after he again spoke out about global
conflict a...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment