Mario Balotelli akikimbia na mpira baada ya kuifungia timu yake, Nice kwa penalti dakika ya 39 katika sare ya 2-2 na Angers usiku wa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice katika mchezo wa Ligue 1 ya Ufaransa. Bao lingine la Nice Ismael Traore alijifunga dakika ya 76, wakati mabao ya Angers yamefungwa na Mateo Pavlovic dakika ya 12 na Karl Toko Ekambi dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russell takes Melbourne pole after Verstappen crash
-
George Russell takes pole position as Mercedes dominate a qualifying
session for the Australian Grand Prix in which Max Verstappen crashed.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment