Mario Balotelli akikimbia na mpira baada ya kuifungia timu yake, Nice kwa penalti dakika ya 39 katika sare ya 2-2 na Angers usiku wa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice katika mchezo wa Ligue 1 ya Ufaransa. Bao lingine la Nice Ismael Traore alijifunga dakika ya 76, wakati mabao ya Angers yamefungwa na Mateo Pavlovic dakika ya 12 na Karl Toko Ekambi dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LA Lakers' Top Trade and Free-agency Targets After Kyrie Irving Picks Up Nets Option
-
The NBA offseason is less than two weeks old, and we've already witnessed
the birth and (likely) death of a "Kyrie Irving to the Los Angeles Lakers"
rumor....
Saa 1 iliyopita
0 maoni:
Chapisha Maoni