Mario Balotelli akikimbia na mpira baada ya kuifungia timu yake, Nice kwa penalti dakika ya 39 katika sare ya 2-2 na Angers usiku wa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice katika mchezo wa Ligue 1 ya Ufaransa. Bao lingine la Nice Ismael Traore alijifunga dakika ya 76, wakati mabao ya Angers yamefungwa na Mateo Pavlovic dakika ya 12 na Karl Toko Ekambi dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LeBron James, Lakers Picked to Upset Nuggets by NBA Scout: 'Got Their Mojo
Going'
-
LeBron James and the Los Angeles Lakers went from not being guaranteed a
playoff spot to being picked to upset the defending champions in less than
a week.…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment