Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar Jumamosi
Beki Andrew Vincent 'Dante' akimiliki mpira mazoezini
Thabani Kamusoko (kulia) katika mazoezini na wenzake leo
Kipa Youthe Rostand katikati ya wenzake akipiga mpira
Thabani Kamusoko akikimbilia mpira mazoezini leo
Kipa kijana mdogo, Ramadhani Kabwili (katikati) akiupigia hesabu mpira
Bayern Munich director responds to Cristiano Ronaldo links
-
Bayern Munich director Hasan Salihamidzic has responded to speculations
linking Cristiano Ronaldo to a move to Bundesliga giants. Ronaldo returned
to Unit...
Dakika 12 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni