Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar Jumamosi
Beki Andrew Vincent 'Dante' akimiliki mpira mazoezini
Thabani Kamusoko (kulia) katika mazoezini na wenzake leo
Kipa Youthe Rostand katikati ya wenzake akipiga mpira
Thabani Kamusoko akikimbilia mpira mazoezini leo
Kipa kijana mdogo, Ramadhani Kabwili (katikati) akiupigia hesabu mpira
APC national scribe leads governorship campaign in Osun, assures of
improved civil servants’ welfare
-
The National Secretary of the All Progressives Congress (APC), Ajibola
Basiru, led the party’s gubernatorial campaign in Ila-Orangun on Monday,
throwing ...
15 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment