Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar Jumamosi
Beki Andrew Vincent 'Dante' akimiliki mpira mazoezini
Thabani Kamusoko (kulia) katika mazoezini na wenzake leo
Kipa Youthe Rostand katikati ya wenzake akipiga mpira
Thabani Kamusoko akikimbilia mpira mazoezini leo
Kipa kijana mdogo, Ramadhani Kabwili (katikati) akiupigia hesabu mpira
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
5 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment