Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la kwanza dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Olympiacos katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Allianz mjini Torino usiku wa jana. Bao la pili lilifungwa na Mario Mandzukic dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
East end of Vancouver's False Creek cleared of boats ahead of World Cup
-
False Creek, east of the Cambie Bridge, has been cleared of virtually all
pleasure craft and passenger vessels under an interim order from Transport
Canada...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment