Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la kwanza dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Olympiacos katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Allianz mjini Torino usiku wa jana. Bao la pili lilifungwa na Mario Mandzukic dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tom Brady Posts Training Video After Comments on Possibly Ending NFL
Retirement
-
After previously keeping the door open on a potential comeback, Tom Brady
is posting videos of himself training. In a four-second video on his
Instagram,…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment