Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akiupitisha mpira juu ya kipa wa Real Sociedad, Geronimo Rulli kuifungia timu yake bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji wao hao Uwanja wa Manispaaa ya Anoeta mjini Donostia-San Sebastian. Mabao mengine ya Real Madird yalifungwa na Borja Mayoral dakika ya 19 na Kevin Rodrigues aliyejifunga dakika ya 36 baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 28 katika mchezo huo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League's ultimate pantomime villain Marc Cucurella makes a VERY
honest admission about his dark arts - as new Refcam footage of his role in
Chelsea-West Ham brawl emerges
-
Marc Cucurella has made a very honest admission about the role he played
during Chelsea's explosive brawl with West Ham United players at Stamford
Bridge l...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment