Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akiupitisha mpira juu ya kipa wa Real Sociedad, Geronimo Rulli kuifungia timu yake bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji wao hao Uwanja wa Manispaaa ya Anoeta mjini Donostia-San Sebastian. Mabao mengine ya Real Madird yalifungwa na Borja Mayoral dakika ya 19 na Kevin Rodrigues aliyejifunga dakika ya 36 baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 28 katika mchezo huo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside John Terry's growing property empire as star sells plans for pair of
Surrey mansions on exclusive estate for a cool £5 million
-
John Terry has pocketed more than £5 million after selling off plots for
two mansions he had planned to build, MailOnline can reveal.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment