Wissam Ben Yedder akishangilia baada ya kufunga mabao yote matatu peke yake dakika 27, 38 na 83 kwa penalti katika ushindi wa Sevilla wa 3-0 dhidi ya Maribor kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla, Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment