Mshambuliaji mpya, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 20 kati ya mawili aliyofunga, lingine dakika ya 67 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Rumors: Broncos 'Quietly Did A Lot of Work' on Bo Nix Amid
QB Buzz
-
The Denver Broncos traded for Zach Wilson, but that might not take them out
of the quarterback game during Thursday's NFL draft. Albert Breer of The
MMQB…
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment