Mshambuliaji mpya, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 20 kati ya mawili aliyofunga, lingine dakika ya 67 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment