Raheem Sterling akinyoosha vidole juu baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 51 na 59 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya 44, Sergio Aguero dakika ya 79 na Fabian Delph dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The night Nottingham Forest were REALLY robbed by a dodgy ref! 40 years on,
the incredible tale of the official who took a bribe
-
MATT BARLOW: Perhaps someone at Nottingham Forest had this looming
anniversary in mind when the Midlands club started peddling conspiracy
theories like Don...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment