Raheem Sterling akinyoosha vidole juu baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 51 na 59 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya 44, Sergio Aguero dakika ya 79 na Fabian Delph dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BBC to defy trolls and keep Sharron Davies on its coverage of the Commonwealth Games
-
In recent weeks, pro-trans lobbyists have been contacting the Beeb asking
them to sack the former British Olympic swimmer, who has worked for them
for more...
Dakika 13 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni