• HABARI MPYA

    Saturday, September 30, 2017

    KOCHA MPYA BAYERN AANZA VIDAL MWENYE KADI NYINGI ZA NJANO

    Kocha wa muda wa Bayern Munich, Willy Sagnol anayeishikilia timu hiyo baada ya kuondoka kwa Mtaliano Carlo Ancelotti aliyefukuzwa juzi, akizungumza na kiungo Arturo Vidal, ambaye msimu huu ameonyeshwa kadi za njano tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA MPYA BAYERN AANZA VIDAL MWENYE KADI NYINGI ZA NJANO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top