• HABARI MPYA

    Thursday, September 21, 2017

    YANGA WAENDELEA NA MAZOEZI LEO UWANJA WA UHURU KUJIANDAA NA NDANDA

    Mshambuliaji Mzambia wa Yanga, Obrey Chirwa akimiliki mpira mbele ya beki na Nahodha wa timu hiyo, Nadir Haroub 'Cannavaro' kwenye mazoezi ya leo asubuhi Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Ndanda FC Jumamosi
    Obrey Chirwa akimiliki mpira pembeni ya beki Abdallah Hajji 'Ninja'
    Kiungo Mkongo Papy Kabamba Tshishimbi akiondoka na mpira leo
    Beki wa kushoto Mwinyi Hajji Mngwali akiwa juu kuokoa
    Kocha Mzambia, George Lwandamina akizungumza na wachezaji wake leo
    Wachezaji wa Yanga wakikimbia Uwanja wa Uhuru asubuhi ya leo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA WAENDELEA NA MAZOEZI LEO UWANJA WA UHURU KUJIANDAA NA NDANDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top