Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akikimbia huku anashangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 69 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona. Mabao mengine ya Barca wachezaji wa Girona walijifunga Aday Benitez dakika ya 17 na Gorka Iraizoz dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment