KIUNGO wa Simba SC, George Lucas ‘Gazza’ akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Yanga SC, Kenneth Pius Mkapa katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) Jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Said Nassor Mwamba ‘Kizota’ marehemu yote dakika ya 47 na 57 kwa pasi za Zamoyoni Mogella, wakati la watani wao lilifungwa na Edward Chumila dakika ya 75.
Miyu Kato, Aldila Sutjiadi DQ'd from French Open After Errant Hit Strikes Ball Girl
-
Miyu Kato and Aldila Sutjiadi were disqualified from their third-round
match in the French Open women's doubles tournament after Kato
inadvertently struck a…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment