WINGA Mghana, Bernard Morrison akimkandamiza mshambuliaji Clement Mzize kwenye unga wakati wachezaji hao wa Yanga wanacheza kambini kwao, Avic Town, Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
Yanga inajiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wa jadi, Simba Jumapili Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment