BAO pekee la Ally Nassor Iddi dakika ya 87 limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Ni kwa ushindi huo Kagera Sugar wanafikisha pointi 35 na kusogea nafasi ya saba, wakati Mbeya City wanabaki na pointi zao 27 nafasi ya 13 baada ya wote kucheza mechi 27.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment