NCHI za Tanzania, Kenya na Uganda zimeungana kuomba uenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2027.
Kwa mujibu wa taarifa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), nchi hizo za Afrika Mashariki zinakabiliwa na upinzani wa Algeria, Botswana na Misri ambazo pia zimeomba uenyeji wa Fainali za 2027.
0 comments:
Post a Comment