TIMU ya Manchester United imefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la FA Cup England baada ya ushindi wa penalti 7-6 kufuatia sare ya 0-0 na Brighton & Hove Albion FC usiku wa Jumapili Uwanja wa Wembley Jijini London. Ni Victor Lindelof aliyefunga penalti ya ushindi baada ya Solly March kukosa upande wa Brighton na sasa kikosi cha Erik ten Hag kitakutana na mahasimu, Manchester City katika Fainali Juni 3 hapo hapo Wembley.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment