MABINGWA wa Tanzania, Yanga SC wanatarajiwa kuondoka nchini Alhamisi ALfajiri kwenda Nigeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Rivers United Jumapili Uwanja wa Godswill Akpabio International mjini Uyo huko Akwa Ibom Kusini mwa Nigeria. Yanga inahitaji kwenda kukaza ili kuja kumaliza vizuri kwenye mechi ya nyumbani Aprili 30, waweze kulipa kisasi cha kutolewa na Rivers katika Hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa msimu uliopita kwa vichapo vya 1-0 nyumbani na ugenini.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment