• HABARI MPYA

    Friday, April 21, 2023

    HAWA NDIO VINARA WA MABAO CHAMPIONSHIP

    MSHAMBULIAJI Edward Songo wa JKT Tanzania ndiye anaongoza kwa mabao katika Ligi ya Championship akiwa amefunga goli 14, akifuatiwa na Ngoy wa Ngoy wa Kitayosce mwenye mabao 13 na Adam Uledi wa Ken Gold tisa.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HAWA NDIO VINARA WA MABAO CHAMPIONSHIP Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top