KIKOSI cha Simba kinatarajiwa kuwasili Dar es Salaam kesho Saa 4:05 asubuhi kikitokea Morocco ambako jana kilitolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Safari ya Simba SC katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara nyingine jana iliishia hatua ya Robo Fainali baada ya kutolewa na mabingwa watetezi, Wydad Club Athletic kwa penalti 4-3 Uwanja wa Mohamed V Jijini Casablanca, Morocco kufuatia sare ya jumla ya 1-1, kila timu ilishinda 1-0 nyumbani kwake.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment