// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED WAIZABA ASTON VILLA 1-0 OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED WAIZABA ASTON VILLA 1-0 OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BAO pekee la Bruno Fernandes dakika ya 39 limeipa Manchester United ushindi wa 1-0 dhidi ya Aston Villa leo Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester na kujiongezea matumaini ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujap. Ushindi unaifanya Manchester United ifikishe pointi 63 katika mchezo wa 32, ingawa wanabaki nafasi ya nne wakizidiwa pointi mbili na Newcastle United ambayo pia imecheza mechi moja zaidi, wakati Aston Villa inabaki na pointi 54 za mechi 34 nafasi ya sita.
Coach Paul Put’s reaction on the CHAN 2024 Draw
-
Uganda Cranes Head Coach Paul Joseph Put expects no pushovers at the CAF
TotalEnergies African Nations Championship (CHAN) KE.TZ.UG 2024. The gaffer
was ...
Revealed: Why CHAN 2024 was postponed
-
The 2024 African Nations Championship (CHAN) has been postponed, announced
the Confederation of African Football (CAF). It will now kick off in August
20...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment