WENYEJI, Ruvu Shooting wametandikwa mabao 3-1 na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Mabao ya Azam FC yamefungwa na Abdul Suleiman Sopu dakika ya 41 na Ayoub Lyanga, mawili dakika ya 67 na 75, wakati la Ruvu Shooting limefungwa na Michael Aidan dakika ya 80. Azam FC inafikisha pointi 53 katika mchezo wa 27 na kusogea nafasi ya tatu, ikiizidi pointi mbili Singida Big Stars ambayo pia ina mechi moja mkononi, wakati Ruvu Shooting inaendelea kushika mkia na pointi zake 20 za mechi 27 pia.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment