• HABARI MPYA

    Saturday, April 22, 2023

    MAZOEZI YA MWISHO YANGA LEO KABLA YA KUIVAA RIVERS KESHO


    KIUNGO wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stepahnie Aziz Ki Nabi akiwa kwenye mazoezi ya Yanga leo Uwanja wa Godswill Akpabio International mjini Uyo, Nigeria kuelekea mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Rivers United kesho. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAZOEZI YA MWISHO YANGA LEO KABLA YA KUIVAA RIVERS KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top