TIMU ya Liverpool jana ilitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa London. Lucas Paquetá alianza kuifungia West Ham United dakika ya 12, kabla ya Cody Gakpo kuisawazishia Liverpool dakika ya 18 na Job Joel Matip kufunga la ushindi dakika ya 67. Kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 53 katika mchezo wa 32 na kusogea nafasi ya sita, wakati West Ham Unitedinabaki na pointi zake 34 za mechi 32 pia nafasi ya 14.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment